rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Tumefungwa kwa hisani ya mama samiaIla tuache utani heri tupoteze wote ili kukata ngebe za bi Kizimkazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefungwa kwa hisani ya mama samiaIla tuache utani heri tupoteze wote ili kukata ngebe za bi Kizimkazi
namna hiyo lawama zote kwa ugaliPuumbafu kabisa, wachezaji wetu hawatumii akili, mara yarundikane, mara yatoe pasi mbovu...ugali, ugali ugali
Aziz ki kwenye mechi ya Ahaly alifanya nin na mibreach ile kichwaniHuyu Chama ndiyo wakumlinganisha na Aziz ki?? Uchafu [emoji706][emoji706][emoji706]
Ukiwa kama mchambuzi wetu wa zamu unaizungmziaje Simba kipindi cha kwanza?Mnawekwa kimoja cha mkwezi, hamna maana nyie
Labda kushinda njaaSimba inaweza kushinda. Isipokuwa kuna wachezaji wawili wanawakaba wenzao. Yani wamekuwa mzigo kwa wenzao.
Na hapa ndo utaona umuhimu wa kuwepo mshambukiaji anayesimama mwenyewe pale mbele kitu simba wanakosahigh balls hazina faida kwetu
Imekua machachariUkiwa kama mchambuzi wetu wa zamu unaizungmziaje Simba kipindi cha kwanza?
Kama sio mama tusingefungwaTumefungwa kwa hisani ya mama samia
Unaangalia mpira lakini?mpira ulikuwa bado ndani
kama ilivyo kuwa penati ya wazi
refa anazingua
Hamna goli, hovyo tu!!Ukiwa kama mchambuzi wetu wa zamu unaizungmziaje Simba kipindi cha kwanza?
Shida hii simba kikosi cha kufumuliwa hiki beki zimeisha kiwango na viungo wamenoki.👍 Mkuu.
Ila sidhani
Imetepeta kazi ilikuwa nzito sanaUkiwa kama mchambuzi wetu wa zamu unaizungmziaje Simba kipindi cha kwanza?