FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Simba inaweza kushinda. Isipokuwa kuna wachezaji wawili wanawakaba wenzao. Yani wamekuwa mzigo kwa wenzao.
 
Mwarabu katepeta lkn wachezaji wa timu ya Simba ni magalasa. Hawawezi kufunga.
 
Tupate wadhamini kidogo
20240309_131000.jpg
 
Mbona wanacheza vizur tu au unaangalia mechi ya Simba ya kibanda maiti?
 
Back
Top Bottom