Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ضسشبيلاا طلسضفل ذشصلا 🤣🤣🤣🤣TUMEIZOEA AL AHLY. PAMOJA NA AL AHLY KUTUACHIA GAME TUCHEZE LAKINI MWENDO TIMEUMALIZA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ضسشبيلاا طلسضفل ذشصلا 🤣🤣🤣🤣TUMEIZOEA AL AHLY. PAMOJA NA AL AHLY KUTUACHIA GAME TUCHEZE LAKINI MWENDO TIMEUMALIZA.
Sawa Mwanasheria na hongera sana😂hujui sheria za mpira
kuangalia ni tofauti na kujua na kutafsiri sheria
kwamba nikwambie chama kakosa faulo iyo ama ama kadi ya inonga ndo uamini naangalia
Wakasahau shida zaoWalikuwa busy na game ya Yanga na Mamelod View attachment 2948603
Kuna Wachezaji wengi wamechezeshwa Defensive Sana
Mwambieni kipa wenu ajiandae kwani Misri ni zamu yake.Huyu kipa wa Al Ahly kawaokoa sana, hilo shuti la Miqson kalenga kwenye 90 kule ila kipa kaifata, makipa wachache wenye uwezo huu
Hawa ingekua Yanga ndio wanacheza nao kingewapata cha BelouzdadKwamba bado una matumaini na hawajamaa wamecheza nyuma ya mpira,kwao waachie buster mtawatoa kweli 😀
😀😀😀Mashabiki maandazi wa Simba wametumia nguvu nyingi kushabikia mechi ya Yanga na Mamelodi wakasahau Wana mechi ngumu na mabingwa watetezi wenye uzoefu na mechi za Knock out.
Anyway Simba itashinda 2 Kwa sufuri Cairo na kuwatowa Al Ahaly .
Muda huu ulitakiw uwe busy kukatikia mboo.. achana na mambo ya Simba..Wana5imba mkatafute mabao nje ya uwanja sasa
Kwamba bado una matumaini na hawajamaa wamecheza nyuma ya mpira,kwao waachie buster mtawatoa kweli 😀
Simba Kwa kawaida huwa anawindwa usiku.Dah!.....tunalala vibaya sana usiku huu
Angalia mbumbumbuu hili😁Man of the Match......Kipa Wao...
Waarabu Watatoka Watake Wasitake....
Wote Kateni tamaa,Mimi nitakuwa Wa Mwisho.....Kwa hiki walicho display Wachezaji wangu