Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Saa 3 leo Yanga anaenda kumnyoosha mtu pale kwa Nkapa mpira kasi mpira magoli speed Ile Ile hakuna kupoa mwanzo mwishoHii imelala yooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa 3 leo Yanga anaenda kumnyoosha mtu pale kwa Nkapa mpira kasi mpira magoli speed Ile Ile hakuna kupoa mwanzo mwishoHii imelala yooo.
Kelele kibao Simba hakuna timu kwa kujihakikishia hilo utaona watakachofanywa CairoWaarabu wamepaki basi kmmk
Hutaziona hizo....hatuna vichaa msimbaziNasubiri nyuzi za kumtukana Mangungu
Muda utaongeaWewe nitashikiria Bango mpaka YinYang apite na wewe na Mamelodi leo anachinjwa hakuna janja janja moto ni ule ule kijani na njano ngoja mufundishwe jinsi ya kushinda nyumbani sio kushinda na njaa mnaishia kufungwa na wabeba mapipa
Tukutane LupasoMuda utaongea
SawaTukutane Lupaso
Uje uone Yanga anavyomshona mtuSawa
Kuna watu ubao huu umewauma Jana kuna dada alikua analia na kwikwi sijui aliweka Bond leo anaenda kukipeleka alilia sanaHatumtaki Mangungu.
#Benchika out#
Yanga hii hii?Uje uone Yanga anavyomshona mtu
Eh maana kuzuia magoli zaidi ya 1 sio mchezo tumewaonea huruma tu tuliwapa hilo moja la machozi ili tusionekane wabaya 😒😒😒Mbona tumeshinda baby 🥰😁🤣
Wewe na naniHatumtaki Mangungu.
#Benchika out#
Yule yuda aliewasaliti Jana pale Lupaso leo anaendakujinyonga kwa Nkapa hatoki NtuYanga hii hii?
Unaongea kama Kibogoyo, Cairo Simba ilifungwa 1 bila ndio timu zikaenda kwenye matuta.N
Ndio, uliza Zamalek aliyekuwa Bingwa mtetezi Wakati huo,alifanywa nini Cairo ..
Watu Wana Historia zao Bwana...!
Hakuna Kitu Simba Hajawaifanya....Labda kuleta Kombe tu
Lile jamaa kenge sana! Linachezaga na jukwaa! Jana limetia aibu sana!Masifa ya Inonga hatimae yamelipa [emoji23][emoji23][emoji23]