FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.

Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.

Karibu.


==============

Timu ya Simba inatarajia kucheza dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Robo Fainali ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Machi 29, 2024

Takwimu zinaonesha hakuna mbabe mpaka sasa, kila upande umeshinda mechi Tatu, hizi ni mechi zilizopita baina ya timu hizo:

24/10/2023 Al-Ahly 1-1 Simba

20/10/2023 Simba 2-2 Egypt

09/04/2021 Al-Ahly 1-0 Simba

23/02/2021 Simba 1-0 Al-Ahly

12/02/2019 Simba 1-0 Al-Ahly

02/02/2019 Al-Ahly 5-0 Simba

29/08/1985 Al-Ahly 2-0 Simba

22/08/1985 Simba 2-1 Al-Ahly
---
View attachment 2948421
Kikosi cha Simba kilichoanza
View attachment 2948432
Kikosi cha Al Ahly kinachoanza

Mchezo umeanza
3' Simba wameanza wakiwa na presha ya kushambulia, wamepata kona
5' Gooooooo Al Ahly wanapata goli baada ya safi ya ulinzi ya Simba kujichanganya
11' Kasi ya Mchezo imepungua, AlAhly wanalinda lango lao muda mwingi
13' Simba Wana Kona tatu, wageni Wana Moja
16' Al Ahly wanapata Kona ya pili na ya tatu ndani ya dakika moja
21' Al Ahly wanafanya mashambulizi ya kushtukiza na yanakuwa hatari
30' Mapumziko ya dakika moja
32' Mchezo unaendelea
40' Saido anakosa nafasi ya wazi
45 ' Mapumziko, Simba wapo nyuma kwa goli 1-0.

MAPUMZIKO

Kipindi cha pili kimeanza
49' Babacar anapata kadi ya njiano kwa kucheza faulo
55' Inonga anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
60' Mchezo bado ni mgumu kwa Simba wanatengenesa nafasi lakini haizitumiki vizuri
70' Simba wanaendelea kumiliki mpira lakini nafasi ya kufunga bado ni ngumu
75' Mapumziko ya dakika moja kwa timu zote.
77' Saido anapat nafasi kadhaa za wazi lakini hazitumii vizuri
80' Simba wanaendelea kutengeneza nafasi lakini wanashindwa kuweka mpira wavuni
90' Zinaongezwa dakika 5
Full Time
Kwahiyo waarabu wamewaacha mcheze wee ila ushindi wao.
Possession asilimia kubwa na hakuna goli

On target 7 na bado goli hakuna.

Tz sisi sijui tutaweza kitu gani
Na Yanga nao si ajabu mambo yatakuwa hivyohivyo .
Anyways,Mungu wabariki Yanga.
 
Kwahiyo waarabu wamewaacha mcheze wee ila ushindi wao.
Possession asilimia kubwa na hakuna goli

On target 7 na bado goli hakuna.

Tz sisi sijui tutaweza kitu gani
Na Yanga nao si ajabu mambo yatakuwa hivyohivyo .
Anyways,Mungu wabariki Yanga.
Nyie watanzania mnaeza kutaniana tu na kulalamika...mambo vipi Best
 
Kwahiyo waarabu wamewaacha mcheze wee ila ushindi wao.
Possession asilimia kubwa na hakuna goli

On target 7 na bado goli hakuna.

Tz sisi sijui tutaweza kitu gani
Na Yanga nao si ajabu mambo yatakuwa hivyohivyo .
Anyways,Mungu wabariki Yanga.
Timu nyingi za kiarabu zinacheza kimkakati.
Ifuatilie hata belouzdad inakuacha ucheze wewe wao wanasubiri waku surprise.
Itizame Morocco kombe la dunia mpaka anaitoa Ureno ya Ronaldo na Spain ni mchezo huo huo.Mpira cheza wewe goli nifunge mimi.
 
Kwahiyo waarabu wamewaacha mcheze wee ila ushindi wao.
Possession asilimia kubwa na hakuna goli

On target 7 na bado goli hakuna.

Tz sisi sijui tutaweza kitu gani
Na Yanga nao si ajabu mambo yatakuwa hivyohivyo .
Anyways,Mungu wabariki Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kulia kupokezanaa.
 
Timu nyingi za kiarabu zinacheza kimkakati.
Ifuatilie hata belouzdad inakuacha ucheze wewe wao wanasubiri waku surprise.
Itizame Morocco kombe la dunia mpaka anaitoa Ureno ya Ronaldo na Spain ni mchezo huo huo.Mpira cheza wewe goli nifunge mimi.
On target 1 tu na wakapata goli
Simba wamepata zote 7 na goli hakuna 💔
Hatari sana
 
Kona zote 11 hakuna ambayo ilikuwa na maana😂😂😂
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.

Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.

Karibu.


==============

Timu ya Simba inatarajia kucheza dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Robo Fainali ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Machi 29, 2024

Takwimu zinaonesha hakuna mbabe mpaka sasa, kila upande umeshinda mechi Tatu, hizi ni mechi zilizopita baina ya timu hizo:

24/10/2023 Al-Ahly 1-1 Simba

20/10/2023 Simba 2-2 Egypt

09/04/2021 Al-Ahly 1-0 Simba

23/02/2021 Simba 1-0 Al-Ahly

12/02/2019 Simba 1-0 Al-Ahly

02/02/2019 Al-Ahly 5-0 Simba

29/08/1985 Al-Ahly 2-0 Simba

22/08/1985 Simba 2-1 Al-Ahly
---
View attachment 2948421
Kikosi cha Simba kilichoanza
View attachment 2948432
Kikosi cha Al Ahly kinachoanza

Mchezo umeanza
3' Simba wameanza wakiwa na presha ya kushambulia, wamepata kona
5' Gooooooo Al Ahly wanapata goli baada ya safi ya ulinzi ya Simba kujichanganya
11' Kasi ya Mchezo imepungua, AlAhly wanalinda lango lao muda mwingi
13' Simba Wana Kona tatu, wageni Wana Moja
16' Al Ahly wanapata Kona ya pili na ya tatu ndani ya dakika moja
21' Al Ahly wanafanya mashambulizi ya kushtukiza na yanakuwa hatari
30' Mapumziko ya dakika moja
32' Mchezo unaendelea
40' Saido anakosa nafasi ya wazi
45 ' Mapumziko, Simba wapo nyuma kwa goli 1-0.

MAPUMZIKO

Kipindi cha pili kimeanza
49' Babacar anapata kadi ya njiano kwa kucheza faulo
55' Inonga anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
60' Mchezo bado ni mgumu kwa Simba wanatengenesa nafasi lakini haizitumiki vizuri
70' Simba wanaendelea kumiliki mpira lakini nafasi ya kufunga bado ni ngumu
75' Mapumziko ya dakika moja kwa timu zote.
77' Saido anapat nafasi kadhaa za wazi lakini hazitumii vizuri
80' Simba wanaendelea kutengeneza nafasi lakini wanashindwa kuweka mpira wavuni
90' Zinaongezwa dakika 5
Full Time
 
Na hapo wana wachezaji wao majeruhi, wakifunga full mziki Misri mtapasuka nyingi. Msitegemee kama watacheza kama walivyo cheza Dar.

Haya naona mlikiwa busy na mechi Yanga,mkasahau yenu andaeni uzi wenu wa masandawana,karibuni leo mcheki burudani.
 
Yanga anaweza kujitahidi akadraw
Simba mdomo mwingi,vitendo sifuri ..
Shida lile semaji linabwabwaja mno..vitu unprofessional...
Ujinga mwingi ,mpira asilimia chache unaongelewa.

Simba ingeshinda uongeona kelele za hovyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dada em, mbona masandawana hawataki sherehe, hizo sare kwao mwikoooo.

Hawana muda, wao ni kufanya jambo lao na kusepaa zao.
 
Back
Top Bottom