Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sinaga huo utoto kwakweli...wenyewe watajua wafanye nini na benchi lao la ufundi
Kwakua mumepasuliwa nyinyi ndio munahitimisha hivyo, sio?Tz hakuna mpira
Tutafute tu mambo mengine ya kufanya.
Ndio mtani nililala tu mapema. Kwani kuna nn?
Ho ho ho hoAcha ufala baba mzima..huna haya
Mpira umetazama au umesimuliwa?Kelele kibao Simba hakuna timu kwa kujihakikishia hilo utaona watakachofanywa Cairo
Ubuntu booothoooooo
Hio picha kwenye avatar huyo Manzi mbele yako mmepiga ukiwa unampelekea Moto?
Walalamishi wangesema ni njama za kuipa pesa Yanga.Ingekuwa vema Mama Samia wetu angeahidi kutoa billion 1 kwa timu itakayofanikiwa kuingia nusu fainali.
Sijui mnanielewa!!!
Yanga yuleeeee Nusu Fainali mapemaaaa, nisiseme sikuwaambia wale walio nunua jezi za Ubuntu Botho naona leo watajaa uwanjani mpira ukiisha watalia mara ya Pili Jana wamelia na leo kipigo kingineWalalamishi wangesema ni njama za kuipa pesa Yanga.