Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kiko wapi ๐น๐น๐น๐น๐นAah wapi๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Wewe binti kashabikie rede,ina maana asishangilie goli na asinge piga ule Mpira kuelekea golini mjinga kijili angejifunga?Max anashangilia na kufikia kutuonesha maneno ya kanga aliyovaa ndani as if lile goli kafunga yeye.
Azam nao mwanzo waliingia kichwa kichwa wakampa credit kwa kile walichokiona kwa Max.
kumbe zinaemdelea uko eeeMpira ni dakika 90.
We mwehu nini kwani ww VAR? Kwani pale kuna kosa gani, mpira wa kichwa unacheza kwa mguu, unategemea kocha asiweke faulo ni shobo za kipa wenu,mpira wa kupanchi unataka kudaka.Wewe umeliona hilo goli tu au unajitoa fahamu?
Wewe mpira wa moto ule ,wewe unaangalia kwenye tv unaona kiwepesi tu,shuti ni Kali mzeeKipa wa Simba sifa zitamuua, Mpira wa kupanchi kwenda nje yeye anataka kudaka kwa sifa.
Mkuu hata sijui uliwezaje kuwa yanga๐ค
Mechi ijayo tunatoa drooangalia tangu tupigwe goli 5 hii ni mehi ya nne magoli yanazidi kushuka, hii ni dalili njema sana kwa upande wetu na mbaya kwa upande wao
๐๐๐ ๐ goli kafunga kijli wenu bhana acheni kulia liaWewe umeliona hilo goli tu au unajitoa fahamu?
Hivi yule mnajimu Genta naye kajificha wapi? Ila ushirikina wao wa mvua umewasaidia kupunguza idadi ya magoli.DR HAYA LAND usifungue tena kilinge, wateja tumekosa imani na wewe tafuta biashara nyingine ๐๐๐
Vipi huko ngapi?Wewe Utopolo tulia sindano iingie, najua hapo ulipo mavi yanagonga chupi
Dakika za jioniiiiiiDakika za jioooooni wananchi bado wanatamba kwa mkapa. Yanga hii utaifungaje?
Wananchi wanafurahi, taifa linafurahi. Ni daresalaaam Young africans tena
wanaendeleza walipoishia. Ni hapo baadae.
All the best Yanga bingwa ๐๐