Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Tnawajaza ili tukiwakanda msianze kusema wazee sijui timu imechoka. πππSasa hivi wanaadabu kipindi cha ngao walisema wazee,jana msemaji wao anasema wanaenda kukitana na timu yenye uzoefu kuliko wao.
Tunawajua nyie baada ya mechi mtaanza kudai bil 20 zenu kwa Mo.Tnawajaza ili tukiwakanda msianze kusema wazee sijui timu imechoka. πππ
Wasikupuuze, Makolokolo hatakuwa mrahisi kushindwa kama Utopolo anavyodhani, kiushabiki naamini Yanga atashinda.Hii mechi droo uwezekano wa yanga kushinda ni mdogo sana
Mpira haunaga matokeo ya kukariri, Yanga inapaswa icheze kwa kuheshimu Mpinzani, derby ni derby tu.Simba hatuna timu ya kushindana na Yanga, watajipigia tu
SIku ya kushenyentwa
Hata manara leo hayupo.Naona dalili ya kutokuwepo Diarra, Aucho na Bacca kwenye mchezo wa leo
Wasipokuwepo itakuwa wamekula kona!! sitawalaumu maana mnyama mwenye unyama mwingi anatisha!! Uto watakaoenda kwa Mkapa leo watajuta kwa nini walienda!! Yanga yenye MBELE MWIKO inazinduliwa leo!!Naona dalili ya kutokuwepo Diarra, Aucho na Bacca kwenye mchezo wa leo
Huu uzi mbona wa jana (11:59PM) wakati mechi inapigwa leo inayoanzia 12:00AM!! Mods kuna nini?Kariakoo Derby!
Simba Vs Yanga, mchezo wa kukata na shoka. Je, Simba atafuta Uteja wa kufungwa na Yanga mfululizo?
Kwa LigiKuu msimu huu, Simba imecheza michezo 5 ikikusanya alama 13 na Yanga michezo 4 ikikusanya alama 12.
Katika siku hizi za karibuni Yanga imeonekana kupata matokeo Chanya dhidi ya Simba na hii ni kutokana na Quality ya kikosi cha Yanga lakini haiondoi uhalisia kwamba Simba nao wana kikosi kizuri hasa msimu huu ambao wametamba Kusajili vizuri.
Mechi ni Saa 11:00 Jioni katika dimba la Benjamin Mkapa
Live kupitia Azam Sports 1HD, TBC Taifa kwa idhaa ya Radio.
Soma Pia: Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko
View attachment 3129332
Ni kalenda tu ya FIFA itakuwa ndio mkombozi kwenu. Timu inatangulia goli mbili bila halafu zote zinarudishwa.Wasipokuwepo itakuwa wamekula kona!! sitawalaumu maana mnyama mwenye unyama mwingi anatisha!! Uto watakaoenda kwa Mkapa leo watajuta kwa nini walienda!! Yanga yenye MBELE MWIKO inazinduliwa leo!!
Weekundu wa Msimbazi huwezi kuchora?Naomba anayeweza atuchoree picha ya chura aliyeweka MBELE MWIKO!! huyo ndo uto kuanzia leo!!