Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 unasema yeye ni Kundu wa wapi vile?Weekundu wa Msimbazi huwezi kuchora?
Mwingine aniwekee MBELE MWIKO auchomeke mdomoniIsiwe taabu!
View attachment 3129568
Huyo Mkuundugu wa Msimbazi hajiwezi kama Ke mjamzito 😅Weekundu wa Msimbazi huwezi kuchora?
Wa Msimbazi[emoji1787][emoji1787] unasema yeye ni Kundu wa wapi vile?
Ukiona mtu mzima anakimbilia kutukana maana yake hana namna nyingine ya kujitetea baada ya kushindwa hoja!! Simba 3 - 0 Yanga.Huyo Mkuundugu wa wekundu wa Msimbazi hajiwezi kama Ke mjamzito 😅
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Usianzishe ugomvi wa mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo mtani 😁Ukiona mtu mzima anakimbilia kutukana maana yake hana namna nyingine ya kujitetea baada ya kushindwa hoja!! Simba 3 - 0 Yanga.
Uto halisi vs Mnyama halisiHuyo Mkuundugu wa Msimbazi hajiwezi kama Ke mjamzito 😅
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kuna tofauti kati ya kurushiana mawe na kurushiana utani!! Watoto wa juzi hawaujui utani wa Smba na Yanga matokeo yake wanarusha mawe! Ikitokea na upandew wa pili kuna mtoto pia hapo matusi yanatawala!! Bahati nzuri mbingunikwetu ni mtu mzima sana!! Ukimrushia jiwe anakurudishia utani:Usianzishe ugomvi wa mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo mtani 😁
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ubinadamu ni kazi, leo mbona kinyonge sanaWasikupuuze, Makolokolo hatakuwa mrahisi kushindwa kama Utopolo anavyodhani, kiushabiki naamini Yanga atashinda.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Leo anaukula vyuma yangaKila la heri yanga.
1. Simba alishafungwa mechi 3 mfululizo, leo hatakubali kuendeleza uteja.Ubinadamu ni kazi, leo mbona kinyonge sana