Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
11 kamili kwa saa za kusini mwa jangwa la SaharaMpira ni saa ngap kwani😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
11 kamili kwa saa za kusini mwa jangwa la SaharaMpira ni saa ngap kwani😁
😁😁 sawa mkuu ngoja tuone itakavyokua.11 kamili kwa saa za kusini mwa jangwa la Sahara
Naona mnachezea mvua Leo nimetoka kigamboni jua linawaka nafika taifa mvua kama yote wanetu mmeanza ulozi😁😁 sawa mkuu ngoja tuone itakavyokua.
Watoto hao hawaelewi, mkuu vipi tena umeweka huku kiwanjani..Will smith na mkewe jada pinket ndio walikuwa ma mc walompandisha @JideJaydee kuimba live with band kwa birthday ya hayati Mandela mwaka 2008 mjini London..
Mnataka muziki wa kimataifa ?..way back .. Cc and 100 others
Unasema ama unauliza?Simba anashinda hii gemu.......
Wanawaroga miguu isiwe miepesi uwanjani?View attachment 3129478
Waki INJECT ubaya ubwela
Uchawi wetu ni mvua lazima ipige, kazi ishaisha nje ya uwanja.
Huyu nani Boko?
Hakuna mvua na mshafungwa kabla ya mechi na mtafungwa tena baada ya mechiUchawi wetu ni mvua lazima ipige, kazi ishaisha nje ya uwanja.
Ateba na soon atakimbilia Yanga msimu ujao km ChamaLeo sijui ni nani atakae ambiwa kauza mechi?
Hapana mkuu huyo ni Dada yako Mwamvita wa BuzaHuyu nani Boko?
Huyo ni wewe ukiwa unaolewa na mumeoHapana mkuu huyo ni Dada yako Mwamvita wa Buza
Hakuna mvua kabisa huku uwanjani ni kukavu wewe upo wapi Msanga?Hii mvua ni kubwa sana
Kwa mvua hii haiwezekani kuchezaHakuna mvua kabisa