Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Eeeh hebu nipe sasa hiyo risitiMkuu nina risiti ya ban yako😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh hebu nipe sasa hiyo risitiMkuu nina risiti ya ban yako😅
Mkuu hongera sana , mmeshinda kwa kweli ila ipo siku yenu tu 😁😁😁Eeeh hebu nipe sasa hiyo risiti
Ndiyo siku nyingine usiwe mbishi mzeeMkuu hongera sana , mmeshinda kwa kweli ila ipo siku yenu tu 😁😁😁
Hahaha mimi sikuomba ban kwa sababu najua mpira una matokeo ya kikatili sana , nitajie mchezaji wa yanga alie funga goli😁😁Ndiyo siku nyingine usiwe mbishi mzee
Yaani ukaamini kabisa chupi upande mtashinda?
Ilitakiwa na wewe ule ban😀
Mpira ulipigwa na max then chupi upande mmoja akaona isiwe tabu akajichomeka mwenyeweHahaha mimi sikuomba ban kwa sababu najua mpira una matokeo ya kikatili sana , nitajie mchezaji wa yanga alie funga goli😁😁
Mpira ulipigwa na max then chupi upande mmoja akaona isiwe tabu akajichomeka mwenyewe
Ni shida zenu au zetu sasa?
Bora kukubali matokeo uwe na amaniYanga wametuzidi. Mechi ya 4 hii wanatufunga.
Aliamua kurukia mpira nje ili aungizie ndani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila vijana wa simba na kocha wa simba wakiendelea hivi naona watafika mbali sana ,timu yetu ni nzuri na ina damu changa na ni wapambanaji kweli kweli .Aliamua kurukia mpira nje ili aungizie ndani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa kujifariji tu hamjambo.....Ila vijana wa simba na kocha wa simba wakiendelea hivi naona watafika mbali sana ,timu yetu ni nzuri na ina damu changa na ni wapambanaji kweli kweli .
Mno hawa wanataka tuanze kulaumu na kutupia lawama wacheziji na kocha ili kitu kizuri tunachotengeneza kipotee😅Ball tulipiga.
Nimekuwepo hapa sana tu
Sijakuona kabisa, hongereni mmejitahidi 😹Ball tulipiga.
Nimekuwepo hapa sana tu
Wametufunga mechi 3...acha kuwapa bicchwa....Yanga wametuzidi. Mechi ya 4 hii wanatufunga.
Upo jamani....Mno hawa wanataka tuanze kulaumu na kutupia lawama wacheziji na kocha ili kitu kizuri tunachotengeneza kipotee😅
😂😂😂 Na urembo wako utapotea kisa kuwazaUpo jamani....
Leo kanisani vitu havipandiii...
Padri simskii kabisa nawaza tuu ilikuwaje jana..yani kijili sijui alitupiwa jini??
kanafiki 🤣🤣👎Sijakuona kabisa, hongereni mmejitahidi 😹