Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Dua ya Azizi Ki ni noma, jamaa anapiga dua mpaka mbeba tunguli wa kolo kala mweleka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua ya Azizi Ki ni noma, jamaa anapiga dua mpaka mbeba tunguli wa kolo kala mweleka
Limeisha hilo🤣🤣🤣Fungua mlango nikukute kwa bed, nataka kulala baada ya kimoja tu😄
Yanga wametuzidi. Mechi ya 4 hii wanatufunga.Mbon kama Uto mmejizima data??
Mmefunga goli lipi?? Mpka mvimbe?
Ndio hivyo tu nakupenda ila wewe ni umbwa sana😁Huweziiii🤣🤣🤣
Nyie mngeshinda mngetukana sanaWashabiki wengi wa yanga ni wazee wa UTI kaswende hawawezi kukuelewa 😁😁😁
Muhimu Point 3 MkuuBuguruni mvua imemaliliza
Mkuu Yanga akishiñda kwa magoli mawili bila nicheki kuna hela ya vocha
Bado hujasemaMbon kama Uto mmejizima data??
Mmefunga goli lipi?? Mpka mvimbe?
Maxi Mpia Zengeli Alipiga Kwa Hesabu Kali Sana Na Alipiga Makusudi Kabisa Kumpasia Kijili Atupie Kamba.Mbon kama Uto mmejizima data??
Mmefunga goli lipi?? Mpka mvimbe?
Umewahi kufundisha hata umiseta?Kocha alivyo mngese kamtoa pacome baadala ya nzengeli
Yanga itatuua kwa raha hii🤣Ndio hivyo tu nakupenda ila wewe ni umbwa sana😁
Simba isipofukuzq wazee wote pale ikaanza upya tutafungwa kila mchezoMechi kama hii tuwe tunatumia marefa wa nje
Bao lipi la penati limekataliwaTATIZO SIO KUSHINDA, TATIZO UMESHINDAJE.....!
Ni baada ya Mabao na penati za mpinzani kukataliwa...!
Wameshinda , hakuna furaha...!
Na hata hiyo Sare umeikosaNAOMBA hata droo tu. Nimechoka na kichapo
Ha ha ha ha haHahahahaha muda wa Chama ndio huu
Dakika ya 85
Pole sana Ndugu yetu Makolokolo Mwandamizi 😢Ngoja ni-focus na maisha yangu Simba haijawah kunipa chochote zaidi ya stress
Kachelewesha ushindi...pacome alikuwa anamaliza mechi chap kwa harakaUmewahi kufundisha hata umiseta?