Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
YametimiaNàaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YametimiaNàaam
Nilipowaambia katika post hii kuwa Mzize kujifunga siku ile ilikuwa ni masharti ya waganga wao hamkunielewa.inawezekana ni masharti ya mganga ya Utopolo hayo, leo wahakikishe wanamfunga kipa wa Simba ili washinde tar 19
Pumzika usiwe kituko nduguNilipowaambia katika post hii kuwa Mzize kujifunga siku ile ilikuwa ni masharti ya waganga wao hamkunielewa.
Soma hiyoooo!Hahahahaha muda wa Chama ndio huu
Dakika ya 85
Naaam naaamDakika za jioniiiiii
Hapana mkuu hii mimi nilishaicheki, yale ni marudio.We ni mganga wa kienyeji?
Nimejinyonga mkuuKwahiyo sahivi uko wapi.....
Future Impossible tenseKuna siku ya kisasi inakuja vyura watatoa milio yote.
Na Kocha kama kawaida 🤣🤣🤣Fukuzen kipa uyoo na yule aliejifunga 🤣
Kacheza vizuri,kuna zile pasi mpenyezo mbili kama sio kuvutwa jezi angewaweka mapemaDube anachezaa kiAzam Azam,njaa ya kufunga ndogoo sana ameanza niboa sasaa.
Naona upepo ulikata kidogo afe huyo kijana msirudie Tena kumpanga nyie chupi upandeMkuu Its Pancho , Hamza yumo😀👍🏽
Vipi ndugu chupi upandeMkuu simba akishinda nitakuita jamaa apewe haki yake kwa sababu binafsi siwajui mods😅