Sio yeye tu. Wachezaji wengi wa Simba wako hivyo. Sehemu ya kichwa atapeleka mguu. Ni majanga tu hii SimbaSema nahisi IQ yake ya maamuzi iko chini kidogo.
Anaonekana kabisa
Inawezekana wanaona ila mawazo yao kuna sehemu yanakwamaSasa unajiuliza, kwamba lile benchi lote la ufundi huwa hawaoni haya matatizo au shida ni nini?
Siku zote ukiona kuna kitu kinafanyika sehemu na hakiingii akikini,ujue kabisa kuna mtu ameamua kujitoa ufahamuSasa unajiuliza, kwamba lile benchi lote la ufundi huwa hawaoni haya matatizo au shida ni nini?
Kuna chochote??
Ili iweje?Ila hii game tunashinda
Kombe la muungano halijatengenezwa kwa ajili ya Simba.Kombe limetengenezwa ili Simba aambulie kitu kabatini, ila naona Azam anafanya ukatiri sasa anataka kumpokonya akimbie nalo!
πππ kejeliSimba sasa imeimarika wanacheza tacticalfootbal, inapendeza sana wanaelewana mno. Viongo wanyumbulifu na wenye nguvu, ukiangalia safu ya ulinzi iko vzr sana ikiongozwa na Yeriko che Malone, Forward ndo usiseme ukizubaa wanakukanda(kibu denis).
Nakubaliana na wewe mkuu. Ukiona mtu hataki hata kukimbia au kukaba, ni wazi huyo anajitoa ufahamu.Siku zote ukiona kuna kitu kinafanyika sehemu na hakiingii akikini,ujue kabisa kuna mtu ameamua kujitoa ufahamu
Achana naye. Ni utopolo plus huyoKombe la muungano halijatengenezwa kwa ajili ya Simba.
Mshahara wa katibu muhtasi wa halmashauriHivi Kibu Denis analipwa shingap
LinaonekanaAchana naye. Ni utopolo plus huyo
We jamaa kama hauna kadi ya ccm unaikosea sana nafsi yako πΉπΉπΉπΉ umekaa kisiasa za uongo uongo tu π€£π€£π€£Azam tunawachapa dakika sio nyingi
Mkuu kwa nini unajibishana na amphibian?Kombe la muungano halijatengenezwa kwa ajili ya Simba.