FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Mods futa huu uzi wana simba saivi tumelala. Uzi wetu utaanza badae saa sita mchana. Huyu topolokavamia jukwaa. Kuna uzi wa yanga na hilal ameuanzisha saa sita usiku huu
Naunga Mkono hoja..tunao official wa kuanzisha Uzi zetu@Ghazwat na Okwiboban..huyu muanzisha huu Uzi hapana..mara anzishe wa Yanga mara huku..nooo
 
Scars na Ghazwat hampo humu kuna vitu vinapungua.shida nini amuonekani?

ntawaagizia defender nyinyi,hivi mnajua mimi ni nani?
[emoji23][emoji28]
 
Kabisa..huwezi kuanzisha live update za timu mbili pinzani kwa wakati mmoja..hii ni zaidi ya kutoa live update ni lazima iende na Mapenzi ya timu.
Halafu eti anajiita ni Simba wakati ni mtu wa jangwani kwenye kile kighorofa kibayaaa 😂
 
M
Daah ungekua JF ni yako kama Melo si ungetutoa si wengine hapa ni member tuu..
Mkuu hapana..fuatilia Uzi zote za live update za Simba Zina watu wake official siyo kila mtu anaanzisha tu..hebu fuatilia tu.
 
Back
Top Bottom