FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Kama huyo moses philip ni mchezaji wa Simba basi kweli hicho kikosi hakiwezi kufika mahali. Bora wamrudishe Moses Phiri waachane na huyo Philips

Usiwe MSHAMBA Hata tukikuambia utaje majina yake 3 hujui.

Tunaojua unatupinga....we jamaa htr
 
Naunga Mkono hoja..tunao official wa kuanzisha Uzi zetu@Ghazwat na Okwiboban..huyu muanzisha huu Uzi hapana..mara anzishe wa Yanga mara huku..nooo
Unahangaika kama mbwa mwenye nyege
 
Nimeota Yanga anashinda moja goli likifungwa kwa uzembe wa kipa.#Tunzahiyo!
 
Kabisa..huwezi kuanzisha live update za timu mbili pinzani kwa wakati mmoja..hii ni zaidi ya kutoa live update ni lazima iende na Mapenzi ya timu.
Lete sheria ya jf inayokataza hilo.
 
M
Mkuu hapana..fuatilia Uzi zote za live update za Simba Zina watu wake official siyo kila mtu anaanzisha tu..hebu fuatilia tu.
Dogo acha kuleta porojo. Umeanza kutumia jf leo?
 
Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania, kule Angola na Afrika Mashariki kwa ujumla.

Mnyama mkali anashuka dimbani akiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini.

Anaenda kumaliza ngwe na kuingia hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa wa Afrika.

Tutakuwa hapa tukipeana taarifa mubashara. Mechi itaanza saa kumi kamili Alasiri.
Picha za uwanjani zikwap mkuu?
 
Back
Top Bottom