FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Nipo hapa shamba na kiredio changu huku nikiwa jamii forum nasema hiiiiiiii ..........leo hawa tutawapiga na kuwachakaza mpaka wamkumbuke savimbi
 
311725239_2372524079573260_540811244845634363_n.jpg
 
Unakimbilia kuanzisha uzi alafu simu ya kuazima
 
Huyo mwenye mkorogo wa bei chee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom