FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium


Jamaa wanapongezana kwa kutoa suluhu kipindi cha kwanza . Yaani hawa jamaa wanawasubiri kwa madiba tu. Shida nyingine SSC ikienda SA haitoweza kucheza mpira kama huu, away game simba anakuwa anajiandaa kupoteza na inakuwa lose, hivyo mazingira ya kufungwa ni makubwa
 
kwenye knock out stage timu zote hutegemea uwanja wa nyumbani kuwabeba ugenini plan ya kwanza inakuwaga kutoruhusu kufungwa wakiona mpinzani wanammudu ndiyo wanatafuta goli kama sio magoli kwa team kubwa matokeo ya bila bila ugenini yanatija sana kwao
 
Pablo tacticaly uwezo wake ni mdogo hilo linajulikana kilichobakia hapa ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja kuamua mechi.
 
mpaka sasa VAR haijatumika na TFF imeingia gharama kufanikisha hili[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…