Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Second half Simba wabadilishe mbinu, ikibidi wacheze long balls kina Morrison wapate nafasi za kukimbia, hizi short passes tunazocheza kwa jamaa walio organised kama hawa ni sawa na kujipotezea muda wenyewe, wanajua hatuna madhara hata kama tukikaa na mpira.
Jamaa wanapongezana kwa kutoa suluhu kipindi cha kwanza . Yaani hawa jamaa wanawasubiri kwa madiba tu. Shida nyingine SSC ikienda SA haitoweza kucheza mpira kama huu, away game simba anakuwa anajiandaa kupoteza na inakuwa lose, hivyo mazingira ya kufungwa ni makubwa