joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Aliwahi kuwa kiungoChe Malone kageuka mshambuliaji
Basi hujasema Mr. Uto...Mechi haina kasi kama wanacheza rede
Hahah Yanga bhana π€£π€£Hamna kitu hapa
Tushukuru tunacheza na hawa watu
Wydad wangetuburuza
Mgomo baridi bado upoUwanja ni mweupe sana
Mi ni simba mkuuHahah Yanga bhana π€£π€£
Huyu dogo yupo vizuri sanaMnamwona Mwenda??
Mwendawazimu?????π΄π΄π€Mnamwona Mwenda??
Kama ni simba bhasi utajua kwanini wanacheza hivyo...Mi ni simba mkuu
Ila ukweli usemwe
Wanapiga mipira ovyo sana kuna uhaba ya watu wa kulainisha mpira humu ndani
Karibu kwenye ligi ya mabingwa Cacl Mr. Utopolo.Naona uwaja umejaa
Mgogoro ndo umefanya kati ya chama phiri au miqqusone asianzeKama ni simba bhasi utajua kwanini wanacheza hivyo...
Na kingine simba leo atafunga ila kuna mgogoro ndani ya Timu
Vibonde wa Jana vipi ?Yani hawa vibonde bado hamjawafunga hamko serious!!!π€π€π€
[emoji12][emoji12][emoji12] Leo ni Ni Mwendo wa Please wait...... Access Denied.Champions League ilikuwa Jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mtandao ulisoma 3G
Mechi ilikuwa usiku sana ile ndo mana sikutokea mdogo wangu.dada jana ulikuwa wapi, tumesimangwa na tatu kichwa zetu wenyewe..!!ππ