Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
[emoji12][emoji12][emoji12] Leo ni Ni Mwendo wa Please wait...... Access Denied.Champions League ilikuwa Jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mtandao ulisoma 3G
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12][emoji12][emoji12] Leo ni Ni Mwendo wa Please wait...... Access Denied.Champions League ilikuwa Jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mtandao ulisoma 3G
Leo Hata Gprs Hawapati...[emoji12][emoji12][emoji12] Leo ni Ni Mwendo wa Please wait...... Access Denied.
...individual brilliance..Forward line inakosa kidogo individual brilliant and sharpness, tuendeleeni kutegemea nguvu za KIBU.
BALEKE apewe muda wa kutosha,
I hope PHIRI leo mapema sana...
Watanzania sisi ni janja janja mashabiki jukumu la kwanza ni kusapoti timu, hao viongozi walioruhusu fungulia mbwa nao wanazingua maana watu wanakua wanazoea kwamba mchawi kufika taifa.Ila ni ukweli ulio wazi leo mwamko umekuwa mdogo sana na viongozi wasidharau tena manung'uniko ya mashabiki. Haya ya leo ni matokeo ya malalamiko ya muda mrefu ambayo yameonekana kupuuzwa.
Kufikia kufungulia mbwa ni mambo ya Yanga haya, wangeacha watu hao hao waliolipa waingie tupate taswira sahihi badala ya kufichaficha.
Muda woteKibu ni fala muda mwingine
Kuna migongano na kutoelewana ndani ya Timu (Ndani ya uongozi)Wanasimba regadless ya matokeo leo, timu yetu kuna kitu inahitaji hope kocha mpya ataona na kuweka mambo sawa.
Hapana watu walioanza ndo hawaelewekiMimi kama simba nasema timu haina wachezaji
Mkuu ndo kusema unacheka ninacho kicheka mimi? 🤣🤣🤣
Angeanza nani?Hapana watu walioanza ndo hawaeleweki
Daaah najuta kuhama azam. Kumbe hata zbc 2 dstv hamnagaDstv mwaka huu katugomea