FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

Wanasimba regadless ya matokeo leo, timu yetu kuna kitu inahitaji hope kocha mpya ataona na kuweka mambo sawa.
 
Ila ni ukweli ulio wazi leo mwamko umekuwa mdogo sana na viongozi wasidharau tena manung'uniko ya mashabiki. Haya ya leo ni matokeo ya malalamiko ya muda mrefu ambayo yameonekana kupuuzwa.

Kufikia kufungulia mbwa ni mambo ya Yanga haya, wangeacha watu hao hao waliolipa waingie tupate taswira sahihi badala ya kufichaficha.
Watanzania sisi ni janja janja mashabiki jukumu la kwanza ni kusapoti timu, hao viongozi walioruhusu fungulia mbwa nao wanazingua maana watu wanakua wanazoea kwamba mchawi kufika taifa.

Jana kuna mdau aliweka uzi kua mashabiki wa bongo sisi tunasaka matokeo , alikua sahihi
 
Sema nini...
Pamoja na kwamba Asec ni Vibonde...

Ila Kibu Anajitahidi sana
 
Back
Top Bottom