Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raja alijipigia vi3 vi3 nyumbani na ugenini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbumbu wahedi.Sasa Yanga naye anacheka Draw kweli..
Haya ni matumizi mabaya ya Kicheko...[emoji1787][emoji1787]
Amesahau Jana..
From SIMBA ya mipango, hadi SIMBA butua...
Champion league
Pole sana Mkuu. 🤣Kote ni majanga tu.
Simba who which when???Mm najuwaga wee Ni Simba lialia kumbe Ni twiga
🤣🤣🤣🤣🤣
huyo jamaa wanatakiwa watemane naye watafute mwingine aliyoyafanya wanasimba wanayajua yanatoshaYani Chama anacheza kam Hataki mara kona hii kajibutulia tu kwani shida nin au hajalipwa mshahara ?
Kashachoka huyo....Yani Chama anacheza kam Hataki mara kona hii kajibutulia tu kwani shida nin au hajalipwa mshahara ?
Simba haiwezi kufungwa kwa kuiombea mabaya, itafungwa kwa ilivojipanga, acha tujipe furaha si wananchi, kelele zenu ndio zimewafikisha hapaKuna jambo tuelewane, ni faida kwa mpira wetu ikiwa Zote Simba na Yanga zitaenda hatua ya pili. Kufika huko tunahitaji match hizi za makundi tushinde. Hii sio Ligi kuu wala Azam Cup, hapa tunapigania maendeleo ya soka la Bongo. Tuache ushabiki wa kuwaombea leo eti Simba ipoteze kisa sisi jana tumepoteza. Tunasahau kuwa tumefika hapa kwa sababu ya mafanikio ya Simba katika miaka kadhaa nyuma? AGAIN TUACHE USHABIKI USIO NA TIJA TUSONGE WOTE.
Boss, Kuna watu wameifuatilia Simba miaka na miaka, wanajua timu ikiwa katka ubora huwa ikifungwa hawasemi timu ni mbovu.Haya Chama wako kaingia na tukafungwa sasa. Acheni kukariri.
Mganga wa yanga katutoa kwenye ramaniule mpira waliocheza na Alhyl sio huu kabisa
Na waliamka hoi. SpeechlessPacket zinakaa 3, Jana ziliisha zote