FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

Kapombe anaonyeshwa Kadi ya Njano

Leo kazi IPO yaani... Ngoja Tusubiri
 
Dah goli la mapema mno kwa timu kama Simba any way piga hao mpaka wajue mpira hauchezwi kwa ndumba😂😂
 
Kwamba kocha hajaona kwenye shida? Mi naona poor marking ya beki za Kati. Mpira unaweza kuisha kwa red kwa Simba huu. Si kwa yellow hizi
 
Mbona tuko peke yetu hapa? Mashabiki wa kinyumenyume FC wako wapi?
 
38' Bocco ile rebound kwa mkwaju wa Sakho angekuwa shapu angefunga

Simba SC 0-1 Azam FC
 
Nasikia tu huko Aisha manulaa ila yanga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah leo uwanja unaitwa wa hayati kwani ungeweka de le mkapa stadium ungekosa nini mkuu,sie simba tukifungwa tutakulaumu kwa kututajia hayati siku ya mechi
Tuwekee ile picha ya anko wa Simba "hatoki mtu kwa mkapa"🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…