Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Pale angekuwa Ahmada ilikuwa kambaSakho looooooo, Azam FC wanaokoa ilikuwa nafasi nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale angekuwa Ahmada ilikuwa kambaSakho looooooo, Azam FC wanaokoa ilikuwa nafasi nzuri
😂😂Au anatudanganya niniHatujamzoea mleta uzi 😆 😆 😆
Rough isiyo na faida katikati ya uwanja!Kanoute ana rough za kipuuuzi sometimes
Tuwekee ile picha ya anko wa Simba "hatoki mtu kwa mkapa"🤣🤣🤣Daah leo uwanja unaitwa wa hayati kwani ungeweka de le mkapa stadium ungekosa nini mkuu,sie simba tukifungwa tutakulaumu kwa kututajia hayati siku ya mechi