Ndo kama nyie kile kisasi cha Ihefu..Hili jaka la moyo hata ninywe nini halishuki. Azam hawana adabu kenge hawa, watajifungaje!!!
Wanakosa kama KalalaPooooor performance, nafasi kibao mnakosa
Hata huku niliko, eti mashabiki wanashangilia sare!! Haya ni maajabu aisee!!Kuna mtu kasema wanatafuta sare ya kwenda nayo Uganda
Scars na Mshana Jr wanasemaje kwani kuhusu hili?Abdallah Heri Sebo atakuwa amepokea bahasha bila shaka. Hawezi kujifunga kirahisi vile. Au nasema uongo mashabiki wa simba?
Tumedhulumiwa ushindi kutokana na ubora wa Kipa wa upinzaniKabisa..kuna siku zinakuwa mbaya ndio kama hizi
Haya kunya sasa tuoneFT Simba 0-2 Azam
Isipokuwa hivyo nakunya barabarani, au atafutwe Nyoso aniingizie
Nimekaa hapa...
Muwashukuru sana Azam kwa kujifunga.....Ndo napata njaa nile best...karibu
Aaaah!! Hii imeniuma zaidi.Ndo kama nyie kile kisasi cha Ihefu..
Ihefu wakajifungaaa
Kuna muda inabidiHata huku niliko, eti mashabiki wanashangilia sare!! Haya ni maajabu aisee!!
Hongera kwa droo πNdo napata njaa nile best...karibu
Si mbaya...Hongera kwa droo π
vumbi gani tenaKwa kudondosha point mbili kuongea kitu gani?
Viper wameshawapakia vumbi.