Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Si mlisema ni Guardiola?Licha ya Simba kuwa mbovu, ila Mgunda ana uwezo mdogo sana wa kiufundi.
Ni aina ya makocha ambao hawana 'Mbinu' zaidi ya kuhamasisha wachezaji.
Kwa Sauti ya Ahmed Ally au SIO?Refa maliza mpiraaaaa tumetosheka na nafasi ya taaaaatuuuu
Mwasibu alaniweKihasibu hii imekaaje hii! Yaani unaikosa nafasi ya pili, na Fei Toto anakosa kiatu cha ufungaji bora!
Nani alaumiwe?
Simba goigoi huyu....Simba hii mbona imelegea
PEP Guardiola Mnene yupo anatoa maelekezo Simba uchukue Kombe la Mshindi wa TatuSimba goigoi huyu....
Hamna kitu mule mzee..! Yule ni 'Sukuma Siku' tu.Si mlisema ni Guardiola?
Au bas nikshasahau, kumbe mlisema ni Guardiola-mnene πππ
Ndio bas tena.Hamna kitu mule mzee..! Yule ni 'Sukuma Siku' tu.
Hata ukiangalia subs zake utaliona hilo.
Pewa na weweGoli mpaka mpewe
Haaaah hila hilo goi goi imenibidi nichekeSimba goigoi huyu....
OKW BOBAN SUNZU Azam ana Goli mbili na nyie kazeni muongeze la PiliMwasibu alaniwe
Hizo sare saba ndiyo zimetunyima ubingwa so disappointed
Tena mbwa .kokoSimba ni mbwa
Hakuna hampo Azam ndio wapo nafasi ya Pili ilitakiwa Azam wasifunge wafungwe au watoe draw Azam kashinda Simba anakua nafasi ya TatuNafasi ya PiLi woyoooooooooo