Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Kituko kingine oktoba 23 hapo hapo kwa mkapa anzeni kununua dozi za panadol.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Huyo atakuwa chura labda but sio simbaKuna mnyama anaenda kupigwa bullet za kutosha leoView attachment 2360549
Sawa dadaYale ya jwaneng Galaxy yanajirudia leo lazima makolo wafe leo hawataamini
Sawa dadaFT
Simba 1-3 NB Bullets
Wale kule kwao ligi yao ni kama ndondo Cup ya hapa kwetu mkuu hamna kitu muleBingwa kutoka ligi yenye upinzani gani?
Kama bingwa tu anacheza vile, hao wengine hali ikoje?
Wakati yanga inamaliza Half Time haijafunga mlisema Yanga ni mbovu,, walivyoshinda mnasema Yanga haikupaswa kutumia nguvu kubwaNyie wale ni kuwaonea huruma jamani mi nikiwaangalia najisikia vibaya. Yanga hawakupaswa kutumia nguvu nyingi vile
Mwache ale vumbi kwenye harusi asiyoalikwaWewe naye umawashwa tuu, mechi ni ya Simba, uzi wa Wanasimba nani kakualika utuletee harufu yenu ya Vinyesi FC au ndio ile kusema mwenye akili ni JK na Mzee Manara
Mlishawahi kucheza na timu za aina ya Zalan mlikua na maajabu gani? Nawakumbuka Green Warriors niko hapa fukwe za ziwa Nyasa(Matema) napunga upepo na JD yangu pembeniIshu ni dhidi ya timu gani?
Utadhani siyo wao waliotoka kutolewa kamasi na Prison na kuambulia kigoli kimoja Kwa mbinde dakika za lala Salama.Kwenye 1&2 View attachment 2360798