FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Nyie wale ni kuwaonea huruma jamani mi nikiwaangalia najisikia vibaya. Yanga hawakupaswa kutumia nguvu nyingi vile
Wakati yanga inamaliza Half Time haijafunga mlisema Yanga ni mbovu,, walivyoshinda mnasema Yanga haikupaswa kutumia nguvu kubwa
 
Kusema kweli huyu Kibu D tunamvumilia sana ila hana kiwango cha kuichezea Simba. Zaidi ya kutumia nguvu nyingi na kukimbia uwanja mzima huwa sioni kingine cha maana kinachosababisha abaki Simba tena anapata namba first team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…