Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa bullet na zalan mi ndugu hakuna timu hapa
Mayele ana goal ngap CHAMPION LEAGUE?Kuna Jini moja tu Tanzania, Fiston Kalala Mayele.
Labda tozoNashangaa. A real gentleman hatukani
Watu wamevurugwa my friendLabda tozo
Amefanyaje?Isra ni msnge
Sub nzuriSakho in
Kibu out
Isra ni msnge
Kuna muda ana msaada jamaniKusema kweli huyu Kibu D tunamvumilia sana ila hana kiwango cha kuichezea Simba. Zaidi ya kutumia nguvu nyingi na kukimbia uwanja mzima huwa sioni kingine cha maana kinachosababisha abaki Simba tena anapata namba first team
Hamna mtu anapata JD akajitangaza,JD ina watu wake bwana ,uto wewe endelea na matapu tapu yako tu[emoji3][emoji3]Mlishawahi kucheza na timu za aina ya Zalan mlikua na maajabu gani? Nawakumbuka Green Warriors niko hapa fukwe za ziwa Nyasa(Matema) napunga upepo na JD yangu pembeni
Mzamiru anapata kadi ya njano hapa na ni kadi ya kwanza kwenye mchezo