Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Ebana pira linapigwa shekhe wangu sio mchezo 😂😂Haaaaaaaa haaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebana pira linapigwa shekhe wangu sio mchezo 😂😂Haaaaaaaa haaaaaaa
Unajua ni nchi 12 tu zinaingiza teams 4? Hizo nafasi 2 extra kaleta nani au mayelle?Hebu peleka ujinga wako Kwa wajinga wenzio.
Yanga ni mabingwa wa nchi ndio sababu wanashiriki.
Amelazimisha kufunga badala ya kutoa assist mwisho wake mpira ukatoka njeAmefanyaje?
Tunataka awe na consistency kiuchezaji bana. Sio leo anacheza vizuri halafu kesho hata kutuliza mpira anashindwa.Kuna muda ana msaada jamani
wapigwe tu,tunawasubiri boda tuwazomeeEbana pira linapigwa shekhe wangu sio mchezo 😂😂
Nani kasema usituharibie party yetu kwa makasiriko yako uto....Si mnasema haya magori hayahesabiki? Sasa imekuwaje?
Kumbe tatizo ni wivu tu Kwa Mayele?
Labda leo hajavuta msubaTunataka awe na consistency kiuchezaji bana. Sio leo anacheza vizuri halafu kesho hata kutuliza mpira anashindwa.
Alikua ametumwa kuiharibu simba huyoZoran alipaswa kufurumishwa na vibao juu
Amen [emoji120]Moses Phiri For Hat Trick
Sikuwahi kujua kama naye mwanachama wa sigara bwegeLabda leo hajavuta msuba
Yule mzungu chizi sanaZoran alipaswa kufurumishwa na vibao juu
Nasikia anainywa sio kuivutaSikuwahi kujua kama naye mwanachama wa sigara bwege
Tuwe fair, Kibu ameibeba sana Simba mechi mbili zilizopita, Ya hawa Bullets kule Malawi na ya Prisons. Tusiwe wepesi kusahau mchango wa mchezajiKusema kweli huyu Kibu D tunamvumilia sana ila hana kiwango cha kuichezea Simba. Zaidi ya kutumia nguvu nyingi na kukimbia uwanja mzima huwa sioni kingine cha maana kinachosababisha abaki Simba tena anapata namba first team