Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Wewe sema neno moja tuu na roho yetu ipone acha ngonjera.Mashabiki wa simba bhana! Ngoja timu ifanye vibaya sasa!! Kocha Mgunda uwezo wake mdogo!! Wachezaji hawajitumi!! Matola aondoke!! Barbara amuachie Magori nafasi ya U CEO!!
Tunawaangalia tu mnavyo jimwambafai.
3 bilaNakazia 2-0
Phiri na Chama
Kwa hichi kikosi tushaumia mapemaKikosi
Mzamiru..Kikosi
Acha Ramli hizo MkuuKwa hichi kikosi tushaumia mapema
Ngoma isiyokuhusu usiivalie dera...Mashabiki wa simba bhana! Ngoja timu ifanye vibaya sasa!! Kocha Mgunda uwezo wake mdogo!! Wachezaji hawajitumi!! Matola aondoke!! Barbara amuachie Magori nafasi ya U CEO!!
Tunawaangalia tu mnavyo jimwambafai.
Sasa hivi imekua tusubiri round inayo fuata sio tena " nyie ni wa kitolewa round ya kwanza" mwaka huu mtavaa vyupi kichwaniTusubiri round inayofuata.
Kwa jinsi mnavyojinadi kuwekeza kwenye usajili (kama ni kweli) halafu mkaishia kwenye hatua hizi za awali ikiwa target yenu ni makundi, sidhani kama mtakuwa na sababu ya kumbakiza Nabi, unless miwe mmlenga mashindano ya ndani kwa miaka yote ambayo kimsingi ndiyo hadhi yenu.Mashabiki wa simba bhana! Ngoja timu ifanye vibaya sasa!! Kocha Mgunda uwezo wake mdogo!! Wachezaji hawajitumi!! Matola aondoke!! Barbara amuachie Magori nafasi ya U CEO!!
Tunawaangalia tu mnavyo jimwambafai.
Hivi umepandisha kabisa matako yako kisa kuwafunga ZALAN FC? Ni swala la mida tu ila swala la makundi msahau kabisa, na hili wala sio swala la kusubiria maajabu ya mpira.Sasa hivi imekua tusubiri round inayo fuata sio tena " nyie ni wa kitolewa round ya kwanza" mwaka huu mtavaa vyupi kichwani
4-0