FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Atashinda 3:1, na ataendelea mtoano
I
Kwa masharti mawili.
Aanze kama alivyaonza mechi iliyopita. Kwa nguvu bila kukata moto.
 
Huyu Mbwaduke naona tena leo kwa mara nyingine anataka kuiingiza Simba chaka kwa habari zake za Bocco eti atacheza mipira ya juu. Hivi Boko mara ya mwisho kufunga kwa kichwa ni lini? Achana na kufunga, mara ya mwisho Boko kupiga tu mpira wa kichwa ni lini?

Kwenye mechi ya Al Ahly alisema maneno hayo hayo na nakumbuka kutoa tahadhari.

Mbwaduke katuingiza chaka kumpendekeza Bocco. Mechi ya leo inahitaji wachezaji wenye ubunifu wanaoweza kujiongeza, siyo "washambuliaji wakabaji"
 
Allah-Akbar Leo tunaondoka na ushindi🤲
20231216_222513.jpg
 
Wana Uto toweni machungu na hasira zenu zote kwa wenye nchi, baada ya mechi ya leo msiususie uzi mliouvamia enyi Uto wahed 😁 😁
 
Asee Uwanja n mweupeee naona hawa waliokuja n mashabiki wa Misso misondo
 
Wydad ndo timu pekee ninayoipenda kutoka moyoni.
 
Back
Top Bottom