Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweliWaarabu wanaanza kwa kasi sana hapa.
Inakabia machoHii defense ya Simba imeanza kujikanyaga.
well Noted mkuu.Sio kila mtu anauweza uwanja mkuu na sio kila mtu yupo dar..... Kumbuka mwezi
Ahsante kwa kututakiwa mema kwenye mechi hii muhimuNyie Makolo semeni wenyewe mapema, hii mechi mkifungwa itakuwaje?
Maana nyie ndio mabingwa wa hesabu za makundi, nyie ndio mnajua kucheza mechi za makundi CAFCL [emoji1787][emoji1787]
KILA MTU AFE KIVYAKEChonde chonde "wananchi" tufaeni la jua leo na sisi tutawafaa la mvua kesho!! Kwa pamoja tumshangilie "mnyama" nguvu moja mwanzo mwisho!! Na sisi tutawashangilia "wananchi" kesho mwanzo mwisho!! Mkikataa kuna mmoja anawaona na kesho msitulaumu!!
Sema ukweli acha kutukatisha matumainiWydad wanakosakosa goli hapaaa
Hii game sidhani kama tutatoka.Enonga inaonekana hawezi kuendelea na mchezo