FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023


leo tarehe 19.12.2023 Mnyama anashuka Dimbani kuzisaka alama tatu za kwanza za hatua ya makundi ya Wydada Casablanca.

Mechi hizi zitachezwa saa 10:00 jioni.

Nini maoni yako kuhusu mchezo huu?

Ungana nami katika uzi huu ambao nitakuletea kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.

View attachment 2847129
Kikosi cha Simba kilichoanza
View attachment 2847133
Kikosi cha Wydad kilichoanza
Nianzie Kwa kucheka ,hivi Simba atamfunga nani Kwa staili anayocheza?
 
Chonde chonde "wananchi" tufaeni la jua leo na sisi tutawafaa la mvua kesho!! Kwa pamoja tumshangilie "mnyama" nguvu moja mwanzo mwisho!! Na sisi tutawashangilia "wananchi" kesho mwanzo mwisho!! Mkikataa kuna mmoja anawaona na kesho msitulaumu!!
Huu ushirika umeanza liniiiii? 🤣🤣🤣
Nyie mkitangulia kucheza sio?
 
jamaa anakera sana. ana akili ndogo sana ya kimpira. na baleke anajiona staa yani uwanjani timu inalengo la kupata goli .yeye na inonga wanawazia kushangiliwa na mashabiki. inakera sana.
 
Magoli kama hayo anafungwa Diarra sio Ayoub Lakred
 
jamaa anakera sana. ana akili ndogo sana ya kimpira. na baleke anajiona staa yani uwanjani timu inalengo la kupata goli .yeye na inonga wanawazia kushangiliwa na mashabiki. inakera sana.
jamaa gani hujaeleza
 
jamaa anakera sana. ana akili ndogo sana ya kimpira. na baleke anajiona staa yani uwanjani timu inalengo la kupata goli .yeye na inonga wanawazia kushangiliwa na mashabiki. inakera sana.
haha ha haaa...
baleke ameshakua fadha unyamani
 
Back
Top Bottom