Me sio yanga Mkuu ni Man U na SimbaYanga ina miaka 25 ndiyo imefaulu kuingia makundi ya club bingwa. Jiulize kati ya hiyo miaka 25 wamechukua makombe mangapi hapa Tanzania?
Yanga ukiwauliza timu gani kubwa uliyoifunga watakuambia TP Mazembe😁😁😁😁 Vibonde waliochoka walipokutana shirikisho baada ya kutoka Champion League
Unaongea huku unashtuka gongowazi...Kwa mbinde mnoo
Mixer na kujaza mabeki MMae
Lasivyo zingerudi
Makolo waoga kishenzi
Chomoa mwiko kama unaumiaKwa mbinde mnoo
Mixer na kujaza mabeki MMae
Lasivyo zingerudi
Makolo waoga kishenzi
Yanga ni timu changa japo ilianza zamani.Yanga ni vigeugeu
Kuna muarabu alikutia mimba akaikataa? Maana si kwa chuki hizi bint.Nimejitaidi lakini nimeshindwa. Naona nishangilie kuona mwarabu kufungwa pasipo kuangalia aliyemfunga
Wajinga sana haoYanga ni timu changa japo ilianza zamani.
Hujifananisha na Simba muda wote, Ally Kamwe anahojiwa kuhusu mechi ya Bullzadad na Al Ahly ila anaongelewa Simba muda wote
Kama waliifunga Simba goli 5-1 mpka wakatoa na mabango, je kama wangeifunga Al Ahly si ingekuwa mapumziko wiki nzima watu hawafanyi kazi.
Yanga ameifunga goli 5 si Simba tu ila ushindi anaukumbuka na kuenzi ni wa timu kubwa ya Simba tu hata ile mechi ya Al Ahly alijua atashinda kwasababu kama Simba ametoka draw halafu Yanga alimfunga Simba basi ushindi ni uhakika.
Uende nao kabisaWydad nakupenda Kwa Moyo wote [emoji16]
Hapana kuna mahali alikua anapatia hahhaha sema tungechelewa sna na vioaji vingine vingekufa kabisa...leo mpk ka zanzibar kamecheza..Yule kocha alikuwa mpumbav
Upo poa lakini?Achana na mimi bwana.
Na le chiza geteŪlīosagala gete bageshi [emoji16][emoji16][emoji16]
Unajua ilikuwa ni Usiku sana 😂😂Achana na mimi bwana.
Poleeeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lolote liwakute wana 5imba
Hebu sema tenaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba lolote liwakute [emoji23][emoji23] mpigwe Tano
Utabiri wako leo, muhindi analiaa tyuuj huko.Leo tunashinda 2-0
Wana Simba tembeeni vifua mbereeee (in jiwe’s voice)
Teseka taratibuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mashabiki mlio kuwa mnamponda Onana leo mtazificha wapi sura zenu!!! [emoji2960]