FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Yanga ina miaka 25 ndiyo imefaulu kuingia makundi ya club bingwa. Jiulize kati ya hiyo miaka 25 wamechukua makombe mangapi hapa Tanzania?

Yanga ukiwauliza timu gani kubwa uliyoifunga watakuambia TP Mazembe😁😁😁😁 Vibonde waliochoka walipokutana shirikisho baada ya kutoka Champion League
Me sio yanga Mkuu ni Man U na Simba
 
Yanga ni vigeugeu
Yanga ni timu changa japo ilianza zamani.
Hujifananisha na Simba muda wote, Ally Kamwe anahojiwa kuhusu mechi ya Bullzadad na Al Ahly ila anaongelewa Simba muda wote
Kama waliifunga Simba goli 5-1 mpka wakatoa na mabango, je kama wangeifunga Al Ahly si ingekuwa mapumziko wiki nzima watu hawafanyi kazi.
Yanga ameifunga goli 5 si Simba tu ila ushindi anaukumbuka na kuenzi ni wa timu kubwa ya Simba tu hata ile mechi ya Al Ahly alijua atashinda kwasababu kama Simba ametoka draw halafu Yanga alimfunga Simba basi ushindi ni uhakika.
 
Yanga ni timu changa japo ilianza zamani.
Hujifananisha na Simba muda wote, Ally Kamwe anahojiwa kuhusu mechi ya Bullzadad na Al Ahly ila anaongelewa Simba muda wote
Kama waliifunga Simba goli 5-1 mpka wakatoa na mabango, je kama wangeifunga Al Ahly si ingekuwa mapumziko wiki nzima watu hawafanyi kazi.
Yanga ameifunga goli 5 si Simba tu ila ushindi anaukumbuka na kuenzi ni wa timu kubwa ya Simba tu hata ile mechi ya Al Ahly alijua atashinda kwasababu kama Simba ametoka draw halafu Yanga alimfunga Simba basi ushindi ni uhakika.
Wajinga sana hao
 
Ule msemo Swimbwa ajashinda mechi yoyote Kimataifa mshimu huu bado upo utopoloni ?
 
Back
Top Bottom