FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Hongera mtani mcheza game nzuri mnabahati sana Waydad hii sio ile tunaijua mbovu sana yaani
 
Mimi sijawahi kumtukana Kocha...Utopolo tulia kesho ni kamasi na jasho litawatoka
Namaanisha huyo kocha baadae Makolo jinsi yalivyo na wanavyochanganyikiwa mambo yakienda Kombo watakuja kutukana mpaka kocha pamoja na Mangungu.
 
Namaanisha huyo kocha baadae Makolo jinsi yalivyo na wanavyochanganyikiwa mambo yakienda Kombo watakuja kutukana mpaka kocha pamoja na Mangungu.
Tutolee hapa utabiri wako wa hali ya hewa ndani ya club yetu...kwenu hali ya hewa ni ya unyevu nyevu kesho mnaweza kuoga..
Haya na nyie ma Utopolo kama mlivyochanganyikwa na kipara wenu kutofanya sub??

 
Kocha wa makombe... Duchu, Isra, Kapombr, Kennedy, Zimbwe, Che, Inonga ndani ya kikosi kimoja
 
Poleeeee babuu wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Post zile memes zakooo,
Mjukuu niwache! 😁😁😁

Na mimi niliwaombea mshinde mapema kabisa mechi bado mbichi. Uzalendo kwanza jamani!

Screenshot_20231219_201209_Chrome.jpg
 
Nimeikosa hii match. Ila hongereni watani. Kwa kweli tunahitaji tuvuke wote au mmoja wetu. Bravo mtani.
 
Back
Top Bottom