Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kabeeesa.Kabisaaa kesho mshinde, tuende Robo, uwezo upo na tunao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabeeesa.Kabisaaa kesho mshinde, tuende Robo, uwezo upo na tunao
Ndiwooooo!!Kabeeesa.
Bado 5 tyuuh naikuta thateee.Usijali Mtani. [emoji1666]
Ukiona mambo yameanza kuwa mengi ujue unaikaribia karibia thirty. Teh teh [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namaanisha huyo kocha baadae Makolo jinsi yalivyo na wanavyochanganyikiwa mambo yakienda Kombo watakuja kutukana mpaka kocha pamoja na Mangungu.Mimi sijawahi kumtukana Kocha...Utopolo tulia kesho ni kamasi na jasho litawatoka
Mpira ni burudani acha wafurahie yakienda kombo acha walalamike kama unaumia simba leo kushinda chomoa huo mwiko kalilie mbaliNamaanisha huyo kocha baadae Makolo jinsi yalivyo na wanavyochanganyikiwa mambo yakienda Kombo watakuja kutukana mpaka kocha pamoja na Mangungu.
Sana mnooo!Upo poa lakini?
Utopwinyo karoho kanawauma onana kapigapigaje paleMtani mtzedi ndo tuseme leo ni dodo chini ya mnazi ama? 😜
Sanaaaa na mimi nilikuwa na stress zangu babe hapatikani!Unajua ilikuwa ni Usiku sana 😂😂
Tutolee hapa utabiri wako wa hali ya hewa ndani ya club yetu...kwenu hali ya hewa ni ya unyevu nyevu kesho mnaweza kuoga..Namaanisha huyo kocha baadae Makolo jinsi yalivyo na wanavyochanganyikiwa mambo yakienda Kombo watakuja kutukana mpaka kocha pamoja na Mangungu.
Huko kwenu vipi?Huko kwenu Leo wamekoma [emoji3][emoji3][emoji3]
Asante sanaSanaaaa na mimi nilikuwa na stress zangu babe hapatikani!
Aaaarrgggghh
Anyways, hongereni 👏🏽👏🏽✌🏽
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Teseka taratibuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjukuu niwache! 😁😁😁Poleeeee babuu wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Post zile memes zakooo,
Mida km hiiTomorrow tuko hapa mpka tomorrow
mbivu na mbichi zishajulikanaMida km hii
Siamini kama upo poa, ila kesho nitaamini baada ya Medeama kupigwa. mkono wa nyani.Sana mnooo!