Kua mzalendo, sisi wote ni waTanzania...Lolote liwakute wana 5imba
Wee nani kasema!!Kua mzalendo, sisi wote ni waTanzania...
Mbwaduke katuingiza chaka kumpendekeza Bocco. Mechi ya leo inahitaji wachezaji wenye ubunifu wanaoweza kujiongeza, siyo "washambuliaji wakabaji"
NakaziaWapigwe Tu.
Simba haijawahi kufeli mbele ya swalaWee nani kasema!!
Wana 5inba Leo mnalooo