ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nianzie Kwa kucheka ,hivi Simba atamfunga nani Kwa staili anayocheza?
leo tarehe 19.12.2023 Mnyama anashuka Dimbani kuzisaka alama tatu za kwanza za hatua ya makundi ya Wydada Casablanca.
Mechi hizi zitachezwa saa 10:00 jioni.
Nini maoni yako kuhusu mchezo huu?
Ungana nami katika uzi huu ambao nitakuletea kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
View attachment 2847129
Kikosi cha Simba kilichoanza
View attachment 2847133
Kikosi cha Wydad kilichoanza
Kwa hiyo wasikoswe koswe?itakua sio mpira Sasa huoSema ukweli acha kutukatisha matumaini
toka hapa una roho mbayaNianzie Kwa kucheka ,hivi Simba atamfunga nani Kwa staili anayocheza?
Aisee tulivyoanza, ni tofauti na tunavyoendeleaHivi Kuna mtu anawaza kwamba Simba atamfunga Mwarabu Kwa uchezaji huo?
Sina hata jema ninalowatakia, liwakute la kuwakuta.Ahsante kwa kututakiwa mema kwenye mechi hii muhimu
labda mdhamini hajapeleka tangazoHii screen ya matangazo ya digitali kwanini kwenye mechi hizi za caf hawaziwashi
Huu ushirika umeanza liniiiii? π€£π€£π€£Chonde chonde "wananchi" tufaeni la jua leo na sisi tutawafaa la mvua kesho!! Kwa pamoja tumshangilie "mnyama" nguvu moja mwanzo mwisho!! Na sisi tutawashangilia "wananchi" kesho mwanzo mwisho!! Mkikataa kuna mmoja anawaona na kesho msitulaumu!!
Acha tuHii game sidhani kama tutatoka.
jamaa gani hujaelezajamaa anakera sana. ana akili ndogo sana ya kimpira. na baleke anajiona staa yani uwanjani timu inalengo la kupata goli .yeye na inonga wanawazia kushangiliwa na mashabiki. inakera sana.
haha ha haaa...jamaa anakera sana. ana akili ndogo sana ya kimpira. na baleke anajiona staa yani uwanjani timu inalengo la kupata goli .yeye na inonga wanawazia kushangiliwa na mashabiki. inakera sana.