Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Na sio mabingwa hata 😂😂😂Kusema tu ukweli......hii wydad Casablanca ni maji maji watupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sio mabingwa hata 😂😂😂Kusema tu ukweli......hii wydad Casablanca ni maji maji watupu
Zipo mechi ambazo Ayoub aliruhusu bao kwa uzembe wa mabeki.Alizodaka huyo Ayubu na Diarra then calculate percent,hesabu za darasa la saba.
Yanga ya Mahindi au hii ya gamondi umemshindwa uto mwenziwe medeama,wyday angewapiga7Hii Wydad ya msimu huu hamna kitu. Ni kama Mtibwa Sugar tu. Ingepangwa kundi moja na timu kali kabisa kama Yanga, aisee ingefungwa goki 10.
Maki Alfo ni Makolo damu damu. Wewe bakia kuwa Mwananchi ili kuleta amsha amsha ndani ya nyumba. Huwa inasaidia sana! 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🖐😂😂
Nawaonea shere walaqhi'..!! Nitamuachia nani Yanga yangu sasa dada Mackie..??
Wydad watuokoe na hii fedheha jamani 🥹🥹Hii ndo Simba sasa, Oparesheni bila Ganzi imeshaanza ni mwendo wa mikasi na viwembe tu.
NB: Ayoub lakred ndo kipa bora kwa Ukanda wa Mashariki na Kati mpaka sasa.
Waachie wenye wanapendaga maumivu[emoji1][emoji23][emoji23]
Nawaonea shere walaqhi'..!! Nitamuachia nani Yanga yangu sasa dada Mackie..??
Sisi ni wavumilivu sana, tatizo nyie mkitubahatisha ndio mpaka kwenye mabango mjini!Nimemmiss ila sitamani arudi kutoka kwenye majukumu yake, nyie watu mna maneno ya kukera sana.
Kwani yale magoli ya Zambia yalikuwaje, si Tegeta Chamanzi au haukuona. Tena alipigwa Zambia na Dar au umesahau.Zipo mechi ambazo Ayoub aliruhusu bao kwa uzembe wa mabeki.
Lakini kwenye ile ya 1v1 kabisa Ayoub yupo compact
Diarra alifungwa bao hapa na kisemvule, hapo huwezi kuwapa lawama beki zaidi ya yeye mwenyewe
Yaani ni afadhali hata Yanga princess kabisa 😂😂Wydad hamna timu hapa
Ombi lako ni batili halina mrejesho, Vumilia tu fedhehaWydad watuokoe na hii fedheha jamani 🥹🥹
Pole!! Hii mechi lazima Simba ishinde. Maana Wydad ya mwaka huu haina maajabu.Wydad watuokoe na hii fedheha jamani 🥹🥹
Wydad hamna timu hapa
Bado ila nina mpenzi ambaye niko tayari kwake kwa hilo.Nifah umeshaolewa ?
Kumbe wewe ndio hujui.Wewe nae mbona huwa nakuona una akili zako?
Utaifa na management ya mchezaji husika vina part kubwa katika market value.
Pia, market value sio sababu pekee ya kuamua ubora wa mchezaji.
Kwani hujawahi kuona wachezaji wakali wakilipwa kiduchu kuliko wasio na lolote mbele yao? We wa wapi?
Unakumbuka kwa misimu karibu mitatu Sadio Mane ndio alikuwa injini ya Liverpool? Market value yake iliendana na aliokuwa nao kikosini?
Nimekushusha vyeo.
Yupo madrasa anakula harua.Wydad hakuna timu pale. Sijui miarabu feki hii 🚮🚮🚮
Ngoja nimuulize Faiza 😁
Alipigapigaje paleOnana kafunga magoli magumu sana yani sehemu ambayo hutazamii kuona mtu akifunga lakini yeye hapo hapo anafunga.