FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Alizodaka huyo Ayubu na Diarra then calculate percent,hesabu za darasa la saba.
Zipo mechi ambazo Ayoub aliruhusu bao kwa uzembe wa mabeki.

Lakini kwenye ile ya 1v1 kabisa Ayoub yupo compact

Diarra alifungwa bao hapa na kisemvule, hapo huwezi kuwapa lawama beki zaidi ya yeye mwenyewe
 
Ukiachana na mheshimiwa Onana Ayoub mpaka muda huu kanikosha ila ilaaa kipindi hiki cha pili tahadhari muhimu zichukuliwe kuna kakitu nimekaona ila tu kamefichwa na magoli haya
 
[emoji23][emoji23]
Nawaonea shere walaqhi'..!! Nitamuachia nani Yanga yangu sasa dada Mackie..??
Waachie wenye wanapendaga maumivu[emoji1]

Raha kama hizi unazikosaje kirahisi namna hii mdogo wangu....

Imagine Christmas ndiyo hiyo...Na zawadi ndiyo tumepewa mapema hivi...

Alilililiiiiiiiii...
 
Zipo mechi ambazo Ayoub aliruhusu bao kwa uzembe wa mabeki.

Lakini kwenye ile ya 1v1 kabisa Ayoub yupo compact

Diarra alifungwa bao hapa na kisemvule, hapo huwezi kuwapa lawama beki zaidi ya yeye mwenyewe
Kwani yale magoli ya Zambia yalikuwaje, si Tegeta Chamanzi au haukuona. Tena alipigwa Zambia na Dar au umesahau.
 
Wydad hamna timu hapa
IMG_8781.jpeg
 
Wewe nae mbona huwa nakuona una akili zako?
Utaifa na management ya mchezaji husika vina part kubwa katika market value.

Pia, market value sio sababu pekee ya kuamua ubora wa mchezaji.
Kwani hujawahi kuona wachezaji wakali wakilipwa kiduchu kuliko wasio na lolote mbele yao? We wa wapi?

Unakumbuka kwa misimu karibu mitatu Sadio Mane ndio alikuwa injini ya Liverpool? Market value yake iliendana na aliokuwa nao kikosini?
Nimekushusha vyeo.
Kumbe wewe ndio hujui.

Katika factors 5 za ku determine value ya mchezaji the top priority ni Skills and performance

Na sio kigezo cha kusema utaifa, sema ligi anayotokea yani Quality ya ligi.

Sasa Ligi aliyotokea huyo Ayoub katika mlinganyo wa ubora ukifanya equivalent na NBC utaona ni sawa?
 
Back
Top Bottom