FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Wydad wangekuwa na mindset za Yanga basi muda huu wangekuwa wanafuraha kuliko sisi.

Unajua kwanini?

Kwasababu furaha ya Yanga siku zote ni kucheza vizuri na kumiliki mpira kuliko mpinzani haijalishi amefungwa bao ngapi.

Leo Wydad kamaliza mechi akiwa mnyonge amekaa chini, ingekuwa ni Yanga wangekuwa wanakumbizana uwanjani kwa furaha.
Yanga Sc mpaka leo wanafurahi kupata medali (mshindi wa pili), ilihali Wydad aliipata hiyo kwenye AFL na CAFCL mara nyingi na hakushangilia.

Hawafanani hao[emoji23]
 
Waachie wenye wanapendaga maumivu[emoji1]

Raha kama hizi unazikosaje kirahisi namna hii mdogo wangu....

Imagine Christmas ndiyo hiyo...Na zawadi ndiyo tumepewa mapema hivi...

Alilililiiiiiiiii...
Hapo penye maumivu ndipo utamu ulipo C'ssy..!!😂😂
 
U
Screenshot_2023-12-19-18-09-50-06_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Nyie Makolo semeni wenyewe mapema, hii mechi mkifungwa itakuwaje?

Maana nyie ndio mabingwa wa hesabu za makundi, nyie ndio mnajua kucheza mechi za makundi CAFCL 🤣🤣
Samaleko mwwarabu
 
Imekaa poa,


Ahsante[emoji1317][emoji1317]


[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
 
Back
Top Bottom