FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Wydad wangekuwa na mindset za Yanga basi muda huu wangekuwa wanafuraha kuliko sisi.

Unajua kwanini?

Kwasababu furaha ya Yanga siku zote ni kucheza vizuri na kumiliki mpira kuliko mpinzani haijalishi amefungwa bao ngapi.

Leo Wydad kamaliza mechi akiwa mnyonge amekaa chini, ingekuwa ni Yanga wangekuwa wanakumbizana uwanjani kwa furaha.
Nomecheka balaa
 
Yaani ni afadhali hata Yanga princess kabisa 😂😂
Mnapenda kujifariji sana
  • Simba alipoenda kucheza na Wydad mlisema kwa mpira mbovu atapigwa nyingi sana. Wengine walisema Wydad anamsubiri mwali wake
  • Baada ya Simba kupigwa 1-0 mlisema alishikilia bomba
  • Leo Simba ameshinda mnasema Wydad siyo timu
Yanga huwa hakosi visingizio, kipindi kile baada ya kupigwa 3-0 Algeria walisema wataifunga Al Ahly wakatoka 1-1 pamoja na kuvaa msuli.
Yanga ina miaka 25 ndiyo imefaulu kuingia makundi ya club bingwa. Jiulize kati ya hiyo miaka 25 wamechukua makombe mangapi hapa Tanzania? Ndiyo ujue Yanga ni timu mbovu.
 
Hamna lolote tena nyie mna maneno machafu sana.
Kuna siku alijisahau akaongea neno moja hilo nilichoka!
Nyie ndio kiboko kwa maneno basi tu misimu hii mitatu hamna jipya.
Yanga ina miaka 25 ndiyo imefaulu kuingia makundi ya club bingwa
Jiulize kati ya hiyo miaka 25 wamechukua makombe mangapi hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom