πππKu
Kawaida yao wazoee mikia hao hawanaga utulivu
kuwa mpole yanapita
Hayo
Moyo umetulia au bado vipandeπππ
Yatapita _ Diamond Platinumz
sio kombe Simba hii haifungwi na timu mbovu kama Yanga πππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jezi nyeusi [emoji3064][emoji3064][emoji3064] wameisha
Bado vipande kiasiMoyo umetulia au bado vipande
SIMBA nia ilikuwa kumkafini maiti tu.Ukiona mpaka kocha wa gongowazi anazungumza kipare jua shughuli ilikuwa nzito.
Hama hukoNimesemwa sana na wanasimba Jana [emoji22]
Hayapiti halitapita hivi hivi lazima tuwaseme tena sana mna mdomo sana wataniKu
Kawaida yao wazoee mikia hao hawanaga utulivu
kuwa mpole yanapita
Hayo
mdomo nyumba ya manenoHayapiti halitapita hivi hivi lazima tuwaseme tena sana mna mdomo sana watani
Mim natazam game za simba nyingi muno, saido ndie mchezaji wetu anaeongoza kupoteza mpira uwanjan. Pasi kumi 4 zitafika na 2 zitakuw za uhakika zingine madudu.Kuna mahali nimejibanza naangalia marudio ya mechi...ila kweli Saidoo ameongoza kwa upoteza mipira duuh..au swaumu?
Afu and uchoyo na ubinafsiiii.Kuna mahali nimejibanza naangalia marudio ya mechi...ila kweli Saidoo ameongoza kwa upoteza mipira duuh..au swaumu?
KumbeeAfu and uchoyo na ubinafsiiii.
Nilikua sijalioana hilo kabla ila nimeona kwa hii mechi ni mipira mingi sana kapotezaMim natazam game za simba nyingi muno, saido ndie mchezaji wetu anaeongoza kupoteza mpira uwanjan. Pasi kumi 4 zitafika na 2 zitakuw za uhakika zingine madudu.