reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Kwenye marudio wanaweza kurudisha ht bao MojaKuna mahali nimejibanza naangalia marudio ya mechi...ila kweli Saidoo ameongoza kwa upoteza mipira duuh..au swaumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye marudio wanaweza kurudisha ht bao MojaKuna mahali nimejibanza naangalia marudio ya mechi...ila kweli Saidoo ameongoza kwa upoteza mipira duuh..au swaumu?
Haya Marudio unaona kuna Uwezekano wa vyura kurudisha yale Magoli Beshti?[emoji1787][emoji1787]Kuna mahali nimejibanza naangalia marudio ya mechi...ila kweli Saidoo ameongoza kwa upoteza mipira duuh..au swaumu?
Hakuna dalili bado kidogo ziongezeke mbili 😆 😆 😆Haya Marudio unaona kuna Uwezekano wa vyura kurudisha yale Magoli Beshti?[emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hakuna dalili bado kidogo ziongezeke mbili [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Count on me-bruno marsBado vipande kiasi
You lied to me _Charley Pride
Quench my thirst please _ Melvin E Bryant & AgapeloveCount on me-bruno mars
Jezi nyeusi [emoji3064][emoji3064][emoji3064] wameisha
Hahahahahahaha dahHaya Marudio unaona kuna Uwezekano wa vyura kurudisha yale Magoli Beshti?[emoji1787][emoji1787]
Nouma sanaa kalpana Hakika tukiamua kumfumua tunamfumua kweli kweliNdo uzuri wa watu wenye midomo domo...
Kwa sasa hukuti wakiisema Ihefu hahaaha
Na Kibu kawapa goli mshindo
Yanga wamekamuliwa...wamebaki weupeee
Lile shuti kama angejaribu kupangua sasahv tungekuwa tunahesabu vidole tisa badala ya kumiHv lile shuti mna uhakika sio Lewandowski kweli yule
NdyooooKumbee
Sio makosa ya beki mfupi???Refarees wa bongo zero kabisa,hilo goli la kwanza limetokana na makosa ya refaree na wasaidizi wake
Hamjui kama anataka ufalme na yeye,?,kiukweli saidoo kama jana asingekuwa na kazi kubwa ya kukaba na kupokonya mipira angetakiwa atoke tu,ila jana alikuwa na kazi kubwa sana yule mzee yuleAfu and uchoyo na ubinafsiiii.
Kwenye marudio mbona wametoka 2-2Kwenye marudio wanaweza kurudisha ht bao Moja