FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Leo naona Wachambuzi Uchwala wanao chambua habari za michezo ili kumfurahisha ili wakamkope Mwenyekiti wa Yanga wametulia.

Na Manara Wametulia
 
Hayapiti halitapita hivi hivi lazima tuwaseme tena sana mna mdomo sana watani
mdomo nyumba ya maneno
Mtasema sana mwishowe mtachoka
Ila kumbukeni kuweka akiba ya maneno
Kwanza tusipigiane kelele mpira haramu๐Ÿ˜…
Mikia fc ustaarabu kwenu ni
F
Mme bahatisha jana tu bas hatulal
Msituchoshe kaeni kitako
 
Kubahatisha kimoja viwili vya ndani kwa ndani ukisema kubahatisha unakataa ukweli.Ule mbinuko ni planned sio bahati.Ngebe zimekatwa. Maiti kakafiniwa.
 
Mim natazam game za simba nyingi muno, saido ndie mchezaji wetu anaeongoza kupoteza mpira uwanjan. Pasi kumi 4 zitafika na 2 zitakuw za uhakika zingine madudu.
Nilikua sijalioana hilo kabla ila nimeona kwa hii mechi ni mipira mingi sana kapoteza
 
MUDA KAMA HUU JANA
MDAKA MISHALE AMESHONWA GOLI 1
93c9ccda-7c90-4487-8062-454d8796e19b.jpg
 
Back
Top Bottom