Natena wiza
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 428
- 676
Kikibwa sisi tunataka lile swala la kuwaita "team ndogo" kila team inayofungwa na Simba Sc liendelee hata baada ya hii mechi.Dah! Hali ni tete kwa wananchi! Tukipata hata sare tu ni jambo la kushukuru. Wachezaji wa Yanga wamekuwa ni wazito mpaka basi.
I wish Ibrahim Bacca na viungo wengine wakapewa tu nafasi.
Hizi mechi zinaamuliwa zaidi nje ya uwanjani kuliko mauzauza unayoyaona uwanjani.Yanga kwa kunivunja moyo tu hawajambo😢😢😢
Unawazungumzia Yanga au ?Great great wananchi.[emoji520][emoji1374]
Mbona mapema sana alikuwepoMayele kumbe yupo kaingia mda gani huyu?
Leo Mtoto hatumwi dukani[emoji1]Siku ya furaha leo sio kitoto
Comeback ngumu hachomoiHizi mechi zinaamuliwa zaidi nje ya uwanjani kuliko mauzauza unayoyaona uwanjani.
Hapo ndio muda wa kocha kuonesha ubora wake wa come back second half anaingiaje.
Unazungumzia Yanga au ?Lets go wananchiii
Tupo tunalia tuu saa hiiLets Go Yanga! Wananchiiiiiii [emoji169][emoji172]
Watasawazisha mwambie sjmba wamefunga mwanzo yanga watafuatia.mpira dk 90[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Poleee
[emoji23] Namuona anajikaza hana namnaKalpana yuko wapi sijui....
Bantu Lady yuko...
Umeonaee!Leo Mtoto hatumwi dukani[emoji1]
Ball Possession ✓Mnaongalia live ball position ikoje?