Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Simba anakunywa damu ya mtu leo [emoji881]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaogopa.....Nasikia air manula kajiponda kwa makusudi na nyundo kwenye dole gumba jana...
Unadhani ile mishuti ya Aziz Ki ingemuacha salama? Mwacheni nae ana familiaNasikia air manula kajiponda kwa makusudi na nyundo kwenye dole gumba jana...
😂😂😂😂 Ndio ndioo.Narudia tena YANGA ikifungwa nipigwe ban for 6 months
Mtawakumbusha 😂😂😂😂😂😂 Ndio ndioo.
Unadhania Mashuti ya Aziz Ki mchezo Mkuu.Nasikia air manula kajiponda kwa makusudi na nyundo kwenye dole gumba jana...
Litakufa jitu yani atake anapigwa asiitake anapigwaUsiku wa deni siku zote haukawii kukucha.
Hatimaye ile April 16 imefika na leo ndo siku ya kummpa za uso Mtani ili ajue pale juu ya Msimamo na zile points nane juu yake hatujazipata kwa bahati mbaya.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Mod anayetembea na huu uzi atajikumbusha mwenyewe. 🤣🤣Mtawakumbusha 😂😂
Sijaona timu ya kunipiga ban miezi 6. Sijaona lazima tuwalishe vyuma hao makoloMod anayetembea na huu uzi atajikumbusha mwenyewe. 🤣🤣
Japo ushindi kwetu upo leo.
Na leo ndo watatuambia nani kapokea ile wanayoiitaga bahasha. 😂😂😂Litakufa jitu yani atake anapigwa asiitake anapigwa
💚💛💚💛
Yap yap Mkuu.Sijaona timu ya kunipiga ban miezi 6. Sijaona lazima tuwalishe vyuma hao makolo
ngoja odds zishuke shukeMakampuni ya betting yanasemaje??? View attachment 2589357
😂😂 na watasema kwanini apokeeNa leo ndo watatuambia nani kapokea ile wanayoiitaga bahasha. 😂😂😂
Eeewaaaaaa!!! 😂😂😂😂 na watasema kwanini apokee