Dah! Wananchi tumeloa ndembendembe! Ngoja tusubiri haya mabadiliko kama yataleta tija. Ila kipindi cha kwanza viungo wa kati wamecheza nyoronyoro sana.Come on wananchiiiiiiiiiiiiiiiii game bado mbichi hawataamini macho Yao anaecheka mwishoni ndo hucheka sana.
[emoji172][emoji169]
Huwa nacheka tuNa kuna watu bado wanamfananisha Chama na vitu visivyofananishika....
Da wachezaji wetu walizubaa Sana. Ila game bado hiiDah! Wananchi tumeloa ndembendembe! Ngoja tusubiri haya mabadiliko kama yataleta tija. Ila kipindi cha kwanza viungo wa kati wamecheza nyoronyoro sana.
KabisaaaKwa haya mabadiliko Simba wawe na utulivu mkubwa sana..
Hizi sub niliziona zitaleta kituToa sureboy na mamnyeto! Weka muhadhir na ki Aziz, hapa ndo ntaona kama Kuna tactical changes zozote
Relax, angalia plan za Nabi.Mtani niache hebu. πππ
Nimefuruggwa mbaya hapa. π
Poa poa Mkuu.Relax, angalia plan za Nabi.
Wabongo bwana ππππKocha amekusikia